Ajali Mbugani

Ajali Mbugani

Napita mikumi kila wiki,kufikia kugonga mnyama mpaka gari kuharibika hivyo ni uzembe wa hali ya juu,na inaonyesha dereva alikuwa speed ya juu ya limit.hapo lazima milion 35 itoke,labda wayamalize "kiutu uzima"
 
Vipi nikimgonga mwanamke faini yake ni dola ngapi?
 
Napita mikumi kila wiki,kufikia kugonga mnyama mpaka gari kuharibika hivyo ni uzembe wa hali ya juu,na inaonyesha dereva alikuwa speed ya juu ya limit.hapo lazima milion 35 itoke,labda wayamalize "kiutu uzima"
Haiwezekani kuyamaliza kihivyo ishu ishakuwa publik inafwatiliwa wizani washaweka mtego
 
kinachoendelea sasa hiv
IMG-20190524-WA0012.jpeg
 
Poa mkuu tumeshajua upo majuu Copenhagen Dermark

Mkuu mm nipo huku Kantalamba narina asali
Vip huko soko la asali n vip???
 
Fuso lagonga na Kuua Twiga Mwenye mimbaView attachment 1105825
Muhimu kufahamu ukigonga mnyama mbugani faini zake

TEMBO = USD 15,000 ~ mil 34.6 NYATI = USD 1,900~ mil 4.3 SIMBA = USD 4,900~ mil 11.3 CHUI = USD 3,500~ mil 8 TWIGA = USD 15,000~ mil 34.6 FISI = USD 550~ mil 1.2 NGIRI = USD 450~ mil 1 NYANI = USD 110~ laki 254 PUNDAMILIA = USD 1200~mil 2.7 SWALA = USD 390~ laki 9 ukipata ajali ndani ya mbuga Tsh 200,000 ukizidisha mwendo faini yake ni Tsh . 30,000/= . .

Ni muhimu kua na tahadhari uingiapo au upitapo mbuga nyingi

Day speed ni 70km/h na Night speed ni 50km/h.

Kwa wale mnaommchukulia poa Fisi Angalia pesa utakayolipaa baada ya kumgonga ...
Kuna neno nilitaka kusema nimeshindwa, kule selou nakwenyewe madereva wa mradi wameanza kugonga wanyama kila siku
 
Mademu wadangaji wakiona hayo madau wanataman wageuke hao wanyama wenye madau makubwa halafu wagongwe walipwe. Ila kwa madau hayo bora madereva wakifika hapo wazime magar then wasukume
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom