Ajali mbeya

Ajali mbeya

Nuru ya milele iwaangazie Watanzania wenzetu.
Hivi akina Mtela , Shonza na Madelu si wanatumia Land Cruiser?
 
Ni hapo daraja la treni mkuu? ni aina gani ya magari?

watu8 Hii habari na picha zipo hapa kwenye uzi mwingine

Link: https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/462139-ajali-barabara-ya-mbeya-tunduma.html




GARI LA ABIRIA AINA YA
HIACE IKIWA IMEGONGANA USO KWA USO NA GARI AINA YA LAND CRUISER




HIZI NI BAADHI YA MAITI
ZILIZO OKOLEWA PUNDE BAADA YA AJALI KUTOKEA




HIVI NDIVYO DALADALA HII
ILIVYO HARIBIKA BAADA YA AJALI HIYO KUTOKEA










DALADALA IKIWA IMEUMIA
VIBAYA








HILI NDILO ENEO AMBAPO
AJALI HIYO IMETOKEA













WANANCHI MBALIMBALI WAKIWA KATIKA ENEO LA TUKIO KUSHUHUDIA AJALI
HIYO

TINGO WA DALADALA
AKIWAANASHUSHWA KATIKA HOSPITALI YA RUFAA






TINGO WA DALADA\LA AKIWA
ANAPELEKWA KATIKA MSAADA WA HARAKA RUFAA



MMOJA WA ABIRIA
AKIKIMBIZWA KATIKA MSAADA WA HARAKA RUFAA



MWILI WA DEREVA WA DALADALA
ALIYE FARIKI PAPO HAPO UKIPELEKWA CHUMBA CHA KUHIFADHIA MAITI
RUFAA

 
Swala la utii wa sheria za barabarani watanzania tunatakiwa tuongeze bidii vinginevyo tunamalizana. Poleni wafiwa na Mungu awajalie majeruhi wapone.
 
Swala la utii wa sheria za barabarani watanzania tunatakiwa tuongeze bidii vinginevyo tunamalizana. Poleni wafiwa na Mungu awajalie majeruhi wapone.

Ni kweli mkuu maana watz tunamtanguliza sana mungu kwenye mambo yetu tunasahau pia mungu huyo huyo ametupa akili ya kuepukana na mambo mbalimbali, hapo kwa sie wenye imani za dini tutasema siku zao zimefika wakati kuna ajali zingine mtu analazimisha ku-over take gari wakati hana uhakika kama huko mbele kuna gari lingine, anyway wapumzike kwa amani wote waliotangulia mbele za haki
 
Mwanga wa milele uwaangazie na wapumzike kwa amani, mahali pema peponi ameni
 
poleni sana ndugu zangu,ila naweka angalizo,(viroba)
 
Back
Top Bottom