Ajali Mbeya: Watu zaidi ya watano wanadaiwa kufariki dunia baada ya lori kufeli breki na kugonga gari la abiria

mwanamwana

JF-Expert Member
Aug 1, 2011
1,076
4,113
Watu saba wanasadikiwa kufariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya lori lenye namba za usajili T 804 BMF kukosa breki na kugonga gari dogo la abiria katika eneo la Inyala nje kidogo ya jiji la Mbeya. Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…