Watu saba wanasadikiwa kufariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya lori lenye namba za usajili T 804 BMF kukosa breki na kugonga gari dogo la abiria katika eneo la Inyala nje kidogo ya jiji la Mbeya. Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya.
Watu saba wanasadikiwa kufariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya lori lenye namba za usajili T 804 BMF kukosa breki na kugonga gari dogo la abiria katika eneo la Inyala nje kidogo ya jiji la Mbeya. Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya.