Kwa mjibu wa habari ambazo nimezipata,
Inadaiwa watu zaidi ya 11 wamefariki dunia katika ajali ya gari la abiria aina ya Caoster inayofanya safari zake Mbeya Tukuyu hadi Kyela baada ya kugongana uso kwa uso na lori la mizigo lililokuwa likitokea nchini Malawi baada ya kudaiwa kufeli breki na kulivaa basi hilo mudasiyo mrefu.
Taarifa kutoka kwa baadhi ya mashuhuda wamesema hali ni mbaya kutokana na kudaiwa kuna majeruhi wengi ambao wameumia vibaya na hali zao ni mbaya na kwamba kuna uwezekano wakupatikana vifo zaidi.
Majeruhi wanaendelea kukimbizwa katika Hospitali ya rufaa mkoani Mbeya, taarifa zaidi baadaye
Inadaiwa watu zaidi ya 11 wamefariki dunia katika ajali ya gari la abiria aina ya Caoster inayofanya safari zake Mbeya Tukuyu hadi Kyela baada ya kugongana uso kwa uso na lori la mizigo lililokuwa likitokea nchini Malawi baada ya kudaiwa kufeli breki na kulivaa basi hilo mudasiyo mrefu.
Taarifa kutoka kwa baadhi ya mashuhuda wamesema hali ni mbaya kutokana na kudaiwa kuna majeruhi wengi ambao wameumia vibaya na hali zao ni mbaya na kwamba kuna uwezekano wakupatikana vifo zaidi.
Majeruhi wanaendelea kukimbizwa katika Hospitali ya rufaa mkoani Mbeya, taarifa zaidi baadaye