CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Leo ni miaka 16 imetimia sasa tangu kutokea ajali mbaya ya meli ya MV BUKOBA,ajali hiyo ilimpoteza kaka angu kipenzi aliyekua ndio kwanza ameanza ajira ktk jeshi la jwtz,iliniuma bcoz ndio aliyekua mfadhili wangu wa masomo ya secondary na maisha ya kila siku,hiyo ilipelekea kukatisha masomo yangu bila kupenda ili niitunze family.
Nakuuliza wewe mwana jf mwenzangu hii ajali ilikuathili vipi?ingawa inauma kuikumbuka siku hii!!
Nakuuliza wewe mwana jf mwenzangu hii ajali ilikuathili vipi?ingawa inauma kuikumbuka siku hii!!