twatwatwa
JF-Expert Member
- Sep 19, 2011
- 2,067
- 419
Nimepigiwa simu toka huko kapunga Mbeya kuna ajali imetokea huko.
Lori lilobeba watu zaidi ya 90 limeanguka ubavu na kubuluzika umbali mrefu watu zaidi ya ishirini inasemekana wametutoka huku wengine wemesambaratika viungo hasa mikono.
Kwa walio Mbeya mnaweza fatilia hilo tukio,,nimepigiwa toka huko
Lori lilobeba watu zaidi ya 90 limeanguka ubavu na kubuluzika umbali mrefu watu zaidi ya ishirini inasemekana wametutoka huku wengine wemesambaratika viungo hasa mikono.
Kwa walio Mbeya mnaweza fatilia hilo tukio,,nimepigiwa toka huko