harder king
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 3,970
- 6,898
Kuna ajali mbaya imetokea Leo Aug20 maeneo ya galapo babat baada ya gari aina ya Noah kuacha njia na kupinduka na kujerui abiria wote huku wengine wakijeruiwa vibaya na kukimbizwa hospital ya wilaya ya babati MRARA na wengine kukimbizwa mkoni arusha (SELIAN) kutokana na hali zao kua mbaya zaidi.
Haijajulikana kwenye gari walikua abiria wangapi ila wote wapo wanapatiwa uduma.
Cha kusikitisha gari za kubebea wagonjwa kuwapeleka arusha hazikua na mafuta na ililazima ndugu na marafiki Wa wagonjwa kuchangia mafuta ili kuwezesha gari hizo kwenda selian arusha.
young kilimanjaro
Haijajulikana kwenye gari walikua abiria wangapi ila wote wapo wanapatiwa uduma.
Cha kusikitisha gari za kubebea wagonjwa kuwapeleka arusha hazikua na mafuta na ililazima ndugu na marafiki Wa wagonjwa kuchangia mafuta ili kuwezesha gari hizo kwenda selian arusha.
young kilimanjaro