Ajali mbaya ya Bodaboda

Ajali mbaya ya Bodaboda

lengo lako tujue kwamba unagari mwone kichwa chako
kwani unafikiri kuwa na gari dar ni ufahari?, usiwe kama watu wa mikoani ambao wanashangaa mtu akinunua gari wakati anaishi kwenye nyumba ya kupanga, kwa dar gari sio luxury au sifa ni jambo la muhimu, na sio wote wenye magari wamelipa cash, wengi wetu tuna madeni.
 
Ni magomeni mapipa ambapo imehusisha gari ya kampuni inayojenga barabara ya morogoro ya STRABAG kugonga muendesha pikipiki na kusababisha kifo chake palepale
Tatizo wenye magari wanawadharau waendesha Pikipiki maana wanawaona kama vile hawana haki ya kutumia barabara.
 
oh tunaisha kwa style tofauti kila kukicha anyway R.I>P bodaboda driver
 
Back
Top Bottom