mende 2014
JF-Expert Member
- Apr 13, 2014
- 763
- 131
Ajali iliyotokea jana na leo hapa Bunda ni katika maeneo yafuatayo. Bulamba hiace na pikipiki jana wanne wamefariki, Lori na nyumbu eneo la Serengeti jana wanne wamefariki na majeruhi 40, Noah na pikipiki eneo la Balili jana afariki mmoja ambaye ni mtendaji, Hiace na pikipiki eneo la daraja mbili karibu na Vilian Ukerewe road leo afariki mmoja, Zakaria express eneo la Serengeti ikitokea Tarime kwenda Mwanza nayo yaua ila uhakika wa waliofariki haijajulikana. Yote haya yametokea wilaya ya Bunda. Hospitali ya BDDH imejaa majeruhi wa ajali hizo.