Ajali mbaya ya basi la Meridian

Ajali mbaya ya basi la Meridian

PAULO WA MSALABA

Senior Member
Joined
Apr 20, 2012
Posts
138
Reaction score
56
Likiwa limetoka Rombo kwenda Dar limeanguka hapa karibu na Mbwewe Bagamoyo. Watu wamekufa.

Basi limekatika siti zipo njee. Dereva bado hajatolewa.

attachment.php
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1376211334713.jpg
    uploadfromtaptalk1376211334713.jpg
    61.9 KB · Views: 779
  • uploadfromtaptalk1376211365918.jpg
    uploadfromtaptalk1376211365918.jpg
    66.2 KB · Views: 4,450
Duh inatisha sana, poleni sana, R.I.P kwa waliokufa, chanzo nini?
 
Du hatari tupu poleni mliokutwa na hili janga
 
Inatisha sana, waliojeruiwa nawapa pole, nawaombea mpate nafuu, na kwa waliofariki roho zao zipumzishwe mahala pema peponi Amina.
 
Serikali inabidi sasa na sio baadae kukalia pesa na kula waanze kukagua usalama wa haya mabasi. Mabasi mengi yanunuliwa yakiwa mabovu na mengi kuungwa tu ionekane vizuri nje kwa kupakwa rangi kumbe kinakuwa kitu hakifai kuendeshwa. Waanze kukagua ni hadi lini watu watakuwa wanapoteza maisha?

R.I.P
 
do aise tuwaombee majeruhi wapatekupona
 
Kila kitu serikali hata mkeo akienda njee ndoa serikali
 
poleni wafiwa na majeruhi,inamana dereva wa basi nae ameaga dunia?
 
Mungu mkubwa ukipona kwenye hiyo habari usijiite shujaa umebakizwa kwa sababu maalum-nmepita jana hapo mkuu mwili unanisisimka

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Nimeishuhudia accident hii,haifai kutizamwa,paa la basi limefyekwa, siti zinaonekana level ya viuno,ni kati ya kijiji cha mbwewe na kimange.
 
Back
Top Bottom