Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,140
- 14,678
Mh, kazi kwelikweli!...
Watu hebu acheni kuwa serious kama vile mpo kwenye jukwaa la siasa au mpo kwenye jukwaa la katiba.
Hazmuoni kama ameweka kwenye jukwaa la utani na at the end of the day post hiyo ni utani?
Kabla hamjakurupuka kuponda post za watu angalia kwanza upo jukwaa gani.
wewe dogo kwa pumba pia masiala aya lazima hii nvua ya jana na leo imekunyea aswa, tena imekunyea mdomonini ajali ya kutisha imetokea sasa hivi kati ya fuso na bajaji,fuso lipo meng'e meng'e dereva na watu wawili wamepoteza maisha,ila bajaji imevunjika taa tu yoo
mimi nilishaapa sitokuja kuvuta bangi maishani
Siku nyingine ukikosa usingizi kunywa Valium utalala tu, sio kuja kutupumzikia hapa!
wewe dogo kwa pumba pia masiala aya lazima hii nvua ya jana na leo imekunyea aswa, tena imekunyea mdomoni