TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,786
- 2,102
Bus la Jay toka Dar kuelekea Tanga limepata ajari, Lilikuwa lina overtake kwenye daraja liligonga pikipiki ikiwa na watu wawili wote wamekufa, bus lilipoteza mwelekeo na kwenda kugonga muembe na kusababisha dereva kufa hapo hapo mpaka sasa dereva ameshindwa kunasuliwa kwenye usukani.