Hana picha huyoooo.... c aseme ukweliiii tu!
CCM inalimaliza hili Taifa..
Itakuwa hii hapa ndiyo maana hajaweka picha wanapost ajali hata ambazo hazipoWeka picha bwana kwani zinatisha sana kuliko za ISIS?
Tumia akili kidogo bac ... hata nguvu zako za kiume zikipungua utaisingizia ccm
Nguvu za kiume ni matokeo ya lishe inayotokana na maisha bora yanayoletwa na sera bora
tuwape pole,binadamu wenzetu.Wamebadilika