Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 18,551
- 21,676
:crying:
Ongezea na hizi 'sio kihivo', 'si kivile'mtangazaji wa habari hii radio one alisema 'mabasi mawili ya abiria yaliweza kugongana uso kwa uso' huwa nakereka sana na watangazaji wa aina hii, kuweza kugongana maana yake nini!!!!
kauli zingine za watangazaji wa redio ambazo hunikera ni kama na ifuatavyo:
hali ya sintofahamu
mimi kama mimi
lisaa limoja nk.
samahanikwa kutoka nje ya mada na poleni wahanga wote.
sheria gani ya barabarani hapa haijafuatwa?...tabia yetu ya kutokufuata sheria