Imetokea ajali mbaya hapa kimara mwisho mda huu, inahusicha GARI AINA YA PRADO, LIMEGONGANA NA KENTA.
SUBIRI UPDATES
Itakuwa chadema hao wamesababisha hiyo ajali
Itakuwa chadema hao wamesababisha hiyo ajali
Kuna waliofariki?
Itakuwa chadema hao wamesababisha hiyo ajali
jamani mimi huwa najiuliza hivi kuna mtu alishawahi kushuhudia ajali nzuri???
gari ndogo ilikuwa inatokea sheli na kuingia barabarani bila umakini, ndipo ajali hiyo ikatokea
Hata kipicha au rangi ya hiyo prado au plate number