sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,524
- 863
MUNGU NDIYE MJUAJI...... nilipita asbh ya leo nikiwa njiani kuelekea kazini, nimekuta daladala mbili zimegongana , moja ni ya mwenge mbagala na ya pili ni mbagala feri. hali ni mbaya hasa ile ya mwenge inaonekana kama imlipinduka kisha ikasimama tena. wako vijana pale wanajaribu kubamandua sehemu zilizobondeka ili kutoa nahisi itakuwa ni maiti, bila kusahau vibaka nao wapo kazini wanjitihada kubwa ufikiri wana imanu kumbe nia kubwa ni kuwaibia majeruhi KWA UFUPI HALI NI MBAYA.