Chanzo ni dereva wa jeshi aliingia upande wa bus ndipo dereva wa basi akalikwepa na kwenda nne ya barabara dereva wa jeshi alibanwa miguu kama uonavyo wasamalia wema wanahangaika kumtoa dereva.
Mohamed trans ilikuwa ikitokea Dar kuelekea Mwanza ndani ya bus Hakuna maheruhi isipo kuwa bus limekwaruzwa upande na lorry hilo la jeshi. Wanajeshi watatu wana maharaja kidogo ila dereva baada ya kutolewa miguu inaonekana imevunjika. Lorry limebeba vitu vya ndani ikiwemo mifugo kama bata na kuku kuna mmojawapo alikuwa akihamishwa.
Shukrani kwa kutujuza keep it up ila tupe namba za gari la jeshi km linavyoonekana
uncle wangu ni mmoja wa majeruhi nitawajuza pakikucha