LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Watu 9 wamefariki dunia hapo hapo katika ajali mbaya iliyohusisha gari aina ya Hiace iliyotokea hapo eneo la Mkiringo nje kidogo wa Mkoa wa Mara baada ya kupasuka tairi ya mbele!
Marehemu wote walale kwa Amani yake Bwana na hata majeruhi nawaombea wapone mapema!
Pigo sana kwa Taifa letu!
Source ni Radio One!
Marehemu wote walale kwa Amani yake Bwana na hata majeruhi nawaombea wapone mapema!
Pigo sana kwa Taifa letu!
Source ni Radio One!