johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,875
Mshana jr!
Mapama umenikumbusha MayahaWanaelekea mashariki, umeelezea ki Singidani Sana, umenikumbusha enzi zile tunaparamia mapama
Nimeona kwa macho nikiwa ndani ya gari.Ukileta Habari halafu hapo hapo tena unaweka neno Kuhisi inakuwa haina Mantiki.
Hii nguvu uliyotumia kuwahi Kutuletea hii Habari JF kwanini usingeitumia Kuthibitisha tukio?
Asante kwa kutuletea Taarifa ya Kuhisi.