Hawa jamaa bana huwa wanakaa barabarani kabisa wakijisahau kwamba hilo ni chuma tu muda wowote linaweza kufanya yake ...R.I.P kwa aliye tangulia na wapone haraka majeruhi
Hivi safety officers walikuwepo kweli ? Inasikitisha na hongera pia kwa Pandya kwa kutoboa namba moja