py thon
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 2,471
- 4,424
Ajali kwenye mbio za magari yaliyokuwa yanafanyika Tanga yameacha majeruhi 4 waliovunjika mguu na kifo cha kijana mmoja.Huku binti mmoja akinusurika baada ya gari kuruka na kupaa juu yake
Dereva la moja ya gari iliyokuwa inashindana alikuwa kwenye spidi kali ku cover muda aliopoteza kurekebisha gari ndipo aliposhindwa kuhimili corner na kuvamia mashabiki.
Dereva la moja ya gari iliyokuwa inashindana alikuwa kwenye spidi kali ku cover muda aliopoteza kurekebisha gari ndipo aliposhindwa kuhimili corner na kuvamia mashabiki.