mteeq
Member
- Sep 8, 2014
- 43
- 17
Kuna ajali imetokea majira ya saa kumi na mbili maeneo ya mbezi beach Tangi bovu barabara ya bagamoyo kati ya gari la mizigo Fiat 682 lililobeba container na gari dogo cami. Hakuna aliyepoteza maisha, wapo waliopata majeraha madogo.