mbona NN umemjib jamaa kikatili hivyo? Dah ukizingatia ulivyo celeb hum jamvinHata huwa nasikia nalala na mamako...
mbona NN umemjib jamaa kikatili hivyo? Dah ukizingatia ulivyo celeb hum jamvinHata huwa nasikia nalala na mamako...
Tangi Bovu/ Mbezi beach ndo nyumbani....ile stretch kuanzia pale darajani hadi Makonde....nikisikia ajali imetokea huko kama sipo nyumbani naanza kupiga simu.
We ukiwa hauko nyumbani kwako halafu usikie ajali imetokea maeneo ya karibu hupatwi na hofu?
Kuna ajali imetokea majira ya saa kumi na mbili maeneo ya mbezi beach Tangi bovu barabara ya bagamoyo kati ya gari la mizigo Fiat 682 lililobeba container na gari dogo cami. Hakuna aliyepoteza maisha, wapo waliopata majeraha madogo.
Hiyo Siyo Ajali Bali Ni Tukio Tu La Kawaida ILA Ajali Ni Mpaka Tusikie ISRAELI Kafanya Kazi Yake!
Huwa nikisikia kuna ajali hayo maeneo huwa napatwa na hofu sana!