Ajali iliyotokea Kilwa rd. leo

jamani munabishana bure tu nazani nyie wote hamjawai pata ajali labda IMAG0892.jpg iyo nilipata mimi na jinsi ilivyo ni kama maelezo muliyoyatoa hapo juu
 
Nashukuru kwa elimu yenu mlionipa, sasa nimeelewa. Shukurani wote mliochangia kwa Msaada wenu.
 
I think nilimaanisha collision. Tire ikipasuka mara nyingi ndiyo husababisha kupinduka bila kugonga. Nadhani ita make hiyo sense unayotaka. Simple logic ni kwamba hakuna side-airbag. This is what I mean.
 
Msome mshana jr hapo juu,ni lazima iwe iwe impact ya uso kwa uso na siyo impact ya aina yoyote inaweza kufungua airbag.Inawezekana hii gari ilikuwa inatua kwa mgongo na matairi alternatively!

Mkuu ni lazima iwe ya on head collision ndiyo airbags zinatoka siyo ma impact ya ubavuni.

Mkuu hadi ubamize pale mbele, ukiviringika na usibamize mbele airbag hazitafumuka!

hivi inajua sensors za airbag(standard) zinakaa wapi?
Gari haiwezi kupinduka halafu isiwe na impact!

Period!

Hahahahaaaa......
 
Gari haiwezi kupinduka halafu isiwe na impact!

Period!

Hahahahaaaa......

Hakuna aliyesema hakuta kuwa na impact, Swala ni kwamba hiyo impact imetokea vipi?
Kinachozungumziwa ni ku-deploy airbags na hili tumesema mpaka gari iwe imegonga mbele usoni! sasa kupinduka inaweza ikabiringita kiubavu na hapo airbags hazitokiiii....!!!
Mbona unakuwa mgumu wa kuelewa? nenda hata kwenye wikipedia au auto.howstuffworks.com/car-driving-safety/safety.../airbag.htm uangalie hizo airbags zinatoka kwa namna ipi.....!!!!!
 
Hata kama cause ya ajali ya gari kupinduka ni pancha, at certain point gari hilo lita fanya contact na ardhi ambayo itaresult katika kutoa impact flani...vilevile gari hilo linapo "come to rest" litafanya impact ya kiwango flani na ardhi. Sasa swali ni at that point kwanini air bags zisi deploy?


Usilete usanii kama hujaelewa umeambiwa head on impact au collision, sasa wewe unaongea any impact kwani hizo airbag siko nyuma ya bodi ya gari, hujaona gari inaaungukia ubavu au ****** wewe.
 
Hakuna aliyesema hakuta kuwa na impact, Swala ni kwamba hiyo impact imetokea vipi?
Kinachozungumziwa ni ku-deploy airbags na hili tumesema mpaka gari iwe imegonga mbele usoni! sasa kupinduka inaweza ikabiringita kiubavu na hapo airbags hazitokiiii....!!!
Mbona unakuwa mgumu wa kuelewa? nenda hata kwenye wikipedia au auto.howstuffworks.com/car-driving-safety/safety.../airbag.htm uangalie hizo airbags zinatoka kwa namna ipi.....!!!!!

Duh, huyu jamaa kiboko. Labda kuna magari yenye airbags pembeni ile sensors nazo ziwekwe ubavuni. Halafu kama ingekuwa kama anavotaka yeye, alishawahi kuta gari imepigwa pasi (hii nayo ni impact) ubavuni na airbag zikafumuka?
 
Hakuna aliyesema hakuta kuwa na impact
Hakuna aliyesema hakutakuwa na impact?

Cheki hili nyomi la watu waliodai hivyo, let's get to the record:

Air bag mara nyingi hu-deploy kama kuna impacts. Kama gari likipinduka bila kugonga kitu chochote basi airbag haitadeploy.

Hujawahi kuendesha gari ndio maana unasema hivyo....Gari inaweza kupinduka kwenye corner kali sana na rough driving pasipo kugonga kitu chochote

Msamehe bure huyo layman maana comment yake inadhihirisha wazi kuwa ni maamuma wa magari, japo angejua hata gari ikipata pancha (hasa tairi la mbele) ikiwa katika mwendo mkali linaweza kupinduka! je kuna collision yoyote hapo kabla ya kupinduka?


Tire ikipasuka mara nyingi ndiyo husababisha kupinduka bila kugonga.
Umeona? Mmejiona?

They are not making half a sense! It's against the laws of physics.

Sasa wamenigeuzia kibao wananishambulia kibinafsi kwamba ni mshamba sijawahi kuendesha gari, ambacho ni kweli masikini wa Mungu, lakini ninachojaribu kuwaeleza hawa vijana wa shule za kisasa za Mama Rwakatare na zile mpya za serikali, za Lowassa, ni kwamba hata gari lingepaa juu likabiringita hewani hewani the mighty force of gravity will recall back to earth any object that flies off the handle into airspace unless it revolves around it permanently!

These are fundaments of physics!

Gari haliwezi kupinduka bila kuwa na impact!

Hahahahhaa.....oooh! hohohhooo.....
 
Gari haiwezi kupinduka bila kugonga kitu chochote, hata ingebiduka hewani hewani ingeishia kupiga ardhini, hakuna kitu kinachoweza kupinduka bila kuwa na impact! Excuse me but you are not making any sense!

Hata UPEPO mkali hupindua gari ndugu
 
Air bag ina namna ya kusence mshtuko kwa mbele, kama gari limepigwa spanner sana likawa disturbed forget about it, TAA ZINAZOWAKAGA KWENYE DASHBOARD MUWE MNAJUA ZINA MAANA GANI, kuna Mama nilimkuta na HARRIER yake safi, anasema tu gari aitaki kuwaka imejizima analalamika, kuangalia kwenye dashboard temperature maximum, ashukuriwe Mungu ni gari ya KISASA ambayo inajizima, ingekuwa hizi zetu NOCK HIYO, engine ingemuhusu, eti kaenda CAR WASH jamaa wamesaharu Rudisha mfuniko wa radiator, ila si mbaya nililamba LAKI ya shukrani.
 
Angle-illustration.gif


Air bags are typically designed to deploy in frontal and near-frontal collisions, which are comparable to hitting a solid barrier at approximately 8 to 14 miles per hour (mph). Roughly speaking, a 14 mph barrier collision is equivalent to striking a parked car of similar size across the full front of each vehicle at about 28 mph. This is because the parked car absorbs some of the energy of the crash, and is pushed by the striking vehicle. Unlike crash tests into barriers, real-world crashes typically occur at angles, and the crash forces usually are not evenly distributed across the front of the vehicle. Consequently, the relative speed between a striking and struck vehicle required to deploy the air bag in a real-world crash can be much higher than an equivalent barrier crash.

Because air bag sensors measure deceleration, vehicle speed and damage are not good indicators of whether or not an air bag should have deployed. Occasionally, air bags can deploy due to the vehicleÕs undercarriage violently striking a low object protruding above the roadway surface. Despite the lack of visible front-end damage, high deceleration forces may occur in this type of crash, resulting in the deployment of the air bag.

Most air bags are designed to automatically deploy in the event of a vehicle fire when temperatures reach 300 to 400 degrees Fahrenheit. This safety feature helps to ensure that such temperatures do not cause an explosion of the inflator unit within the air bag module.


Front air bags are not designed to deploy in side impact, rear impact or rollover crashes. Since air bags deploy only once and deflate quickly after the initial impact, they will not be beneficial during a subsequent collision. Safety belts help reduce the risk of injury in many types of crashes. They help to properly position occupants to maximize the air bags benefits and they help restrain occupants during the initial and any following collisions. So, it is extremely important that safety belts always be worn, even in air bag-equipped vehicles.
 
Umenena vema, hicho kizungu kinatosha kuelewa kwa nini airbag inaweza isifunguke, Asante kwa kuvisit websites
 
Kweli bwana, hata mimi ilinikuta hiyo. Nimepinduka kwa kulalia mgongo wa gari na kisha kusimama kwa mataili nje ya barabara na kusimama kwa kugeukia nilikotokea, lakini airbag haikudeploy. Dikugonga kutu sababu nilikuwa namkwepa mwendesha Fuso aliyebeba nyaya toka mikoani pale Ruvu Sekondari saa 11.30 alfajiri. Si unajua wanawahi sokoni kutua mzigo na wanalala huku wanaendesha, alikuwa ananijia uso kwa uso nami nikiwa na familia nzima naenda mikoani, sikutaka kuimaliza familia yangu yote hapo, kumkwepa nikajikuta naticktack. Mungu alivyo mwaminifu, gari ikawa nyang'anyang'a lakini hakuna binadamu aliyechunika mahali popote ingawa wind screen ilikuwa neti tayari. Kwa hiyo I buy the idea kwamba kugonga head on pengine ndio maudhui ya airbags. Asante kwa shule mliyoitoa.

Gwe ndaga mwaponile! Mwimbie Bwana Mungu wako pambio.
 
Inategemeana ni impact ya wapi kwani kuna airbag designed for different impacts..km ni head on collision then ya steering na passenger zitadeploy (na pia ya knee); km ni side impact or roll over basi side airbags zitadeploy. Model mpya za gari ndio zina aina nyingi za airbags..
 
Hujawahi kuendesha gari ndio maana unasema hivyo....
Gari inaweza kupinduka kwenye corner kali sana na rough driving pasipo kugonga kitu chochote

mkuu huyu mshikaji ni mbishi sana achana nae.
 
Naanza kuamini 'kutokuelewa nacho ni kipaji' ila sipendi kuamini kama Anheuser naye ni mmojawapo!
 
makofia ni ya 3 kumiliki so ni kawaida sana kaka kwenye vyombo vya moto kilichoniuma nina mda nayo mfup sana toka nimenunua ila namshukuru sana mungu nipo salama sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom