chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 19,693
- 22,716
Nimepokea taarifa kwamba basi la Shabiby likitokea Morogoro kuelekea Dar limepata ajali na kudondoka eneo la Tungi Morogoro kilomita chache kutoka Msamvu.
Taarifa za kama kuna majeruhi au waliofariki bado sijazipata.
Tutaendelea kufahamishana kadri nitakapokuwa nikipokea taarifa!
Taarifa za kama kuna majeruhi au waliofariki bado sijazipata.
Tutaendelea kufahamishana kadri nitakapokuwa nikipokea taarifa!