Zuia Sayayi
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 841
- 133
Basi La MTL lilikuwa likitoka Mwanza kwenda Dar Limepinduka
kuna majeruhi na hakuna taarifa za vifo
source R.f.a
kuna majeruhi na hakuna taarifa za vifo
source R.f.a
Pole kwa majeruhi!
Hizi pole hazisaidii jamani. Kila siku poleee...
Tutafute chanzo cha hizi ajali. Ajali kwa kiasi kikubwa zinaepukika, na wala sio swala la bahati mbaya..
Kila siku watu wanakufa, wengine wanapatwa na vilema.. Afu mnasema "POLE"
Hawa madereva wanatumaliza ..
Kweli ligongane na gari lingine bila kuua, hio sijaielewa bado, na imetokea wapi?
Haya mabasi ya Mohamed trans yana nuksi naona wameanza kutoa kafara ya mwaka huu, maana mwaka jana ilikuwa kimbembe, mara limeungua mara limepasuka tairi na kupinduka mara limegongana na roli mmmmh watu waache kupanda haya mabasi ya Mohamed trans kwa kweli
Chanzo ni mwendokasi. Haya, majeruhi bado hawastahili kupewa Pole?
Why do you confirm kuwa ni mwendo kasi??? Umeenda kupima kwenye tukio.
Marekani magari yanakimbia kuliko bongo mbona hawapati ajali za kila siku kama bongo.
Naomba download "seconds from disater" uone ajali zinavyotokea, na jinsi viongozi walio_serious na maisha ya raia wao Wanavyowajibika.
Asilimia kubwa ya ajali ni uzembe.
Limepinduka leo asubuhi na chanzo wanasema ni mwendo kasi uliopitiliza kiasi kwamba ikitoke likagongana na basi jingine (uso kwa uso) mabasi hayo yatavaana na kuwa basi moja.!