mpambanaji
Member
- Apr 5, 2009
- 22
- 1
Katika hali ya kumshukuru Mola, tairi ya mbele kushoto bus la Muro toka Mbeya lapasuka tairi Morogoro wakati likiingia stand kuu ya Morogoro. Mwendo mdogo wa 5km/h umepelekea kulinusuru gari hilo katika janga kubwa ambalo lingeweza kutokea Kama mwendo ungekuwa tuliouzoea