Ajali barabara ya Makambako Njombe

Ajali barabara ya Makambako Njombe

mmasai halisi

Member
Joined
Apr 9, 2014
Posts
55
Reaction score
12
Nipo safarini nimekutana na ajali ya gari ya surf ambayo ilikuwa ikitokea Njombe iligonga Fuso uliyokuwa imeharibika barabarani!, mtu mmoja amepoteza maisha
 
Nipo safarini nimekutana na ajali ya gari ya surf ambayo ilikuwa ikitokea Njombe iligonga Fuso uliyokuwa imeharibika barabarani!, mtu mmoja amepoteza maisha


Twaweza ona chochote
 
Poleni wafiwa na majeruhi
Ngoja wafuasi wa camera waje
 
Nilishindwa kuupload picha
 

Attachments

  • 1402233635451.jpg
    1402233635451.jpg
    113.9 KB · Views: 364
Ajali mbaya sana na inatisha kwani gari dogo limeharibika vibaya
 
Pole zao. Ukiiangalia hiyo surf ilivyopondeka utagundua kwamba ilikuwa
kwenye mwendo mkali.
 
Pole zao. Ukiiangalia hiyo surf ilivyopondeka utagundua kwamba ilikuwa
kwenye mwendo mkali.


Maeneo yale huwa yanakuwa na ukungu mzito miezi hii ukizingatia kuwa kuna misitu minene
 
Dah. Mungu atusaidie manake sayansi imechemsha.
poleni waathirika
 
Nipo safarini nimekutana na ajali ya gari ya surf ambayo ilikuwa ikitokea Njombe iligonga Fuso uliyokuwa imeharibika barabarani!, mtu mmoja amepoteza maisha

loo,mungu awalaze pema peponi,amen
 
Back
Top Bottom