Kesheni mkisali kwa maana hamjui saa wala siku atakayokuja mwana wa mtu. Hakuna cha wiki ya nenda kwa usalama wala nini. Nchi inaomboleza na wote waliomo ndani yake. Viongozi na wanaongozwa wamemsahau Mungu.
Haiwezekani kila siku ajali,ajali mara vifo, kwa nini lakini? Inatakiwa kukaa chini ili tuweze kujiumba upya na kufanya tafakuri ya wapi tumeanguka kama Taifa. Kwa nini tumekuwa ni watu wa kulia na kuomboleza kila siku?
Watu 8 wamekufa mkoani Singida katika ajali 2 tofauti zilizohusisha fuso likitokea mnadani na gari la polisi lililokuwa linasafirisha maiti kwenda Mara .souce radio 1
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.