Aishi Manula kwanini lakini?

Masterplaner

Senior Member
Jul 30, 2020
121
182
Kuelekea michuano mikubwa ya klabu bingwa barani Afrika timu Yangu ya Simba iliangalie Hili tatizo la Manula kutoka golini kuwahi Mpira bila hesabu za uhakika. Hili nimeliona sana Stars ilipocheza na Namibia.

Kosa hili amefanya zaidi ya mara tatu ni vile tumecheza na timu dhaifu vinginevyo tungefungwa kupitia uzembe huo japo ameokoa michomo mingi ya hatari. Hili litazamwe vizuri.
 
Ndio maana simba imeleta kocha wa makipa
Kuelekea michuano mikubwa ya klabu bingwa barani Afrika timu Yangu ya Simba iliangalie Hili tatizo la manula kutoka golini kuwahi Mpira bila hesabu za uhakika Hili nimeliona sana stars ilipo cheza na Namibia kosa Hili amefanya zaidi ya maratatu ni vile tume cheza na timu dhaifu vinginevyo tungefungwa kupitia uzembe huo japo ameokoa michomo mingi ya hatari Hili litazamwe vizuri
 
Beki mda mwingine wanasababisha kipa atoke kuwahi mpira, na pale asingetoka jamaa angeshoot toka mbali na kufunga.

Amejitahidi Sana manula.

Ni vyema watu kuelewa kuwa kipa mzuri pia ni muunganiko wa beki nzuri.
Wakati mwingine kipa hufanya makosa kulingana na kosa lililoanzia kwa beki.
Wakati mwingine kosa lawezakuwa ni la kipa binafsi.

Mpira ni mchezo wa kunufaika na makosa ya mwenzako, hivyo hakuna kipa ambaye hafanyi makosa na beki asiyefanya makosa. Ni kwa kiasi gani ndo shida yenyewe. Kuna maamuzi mengine ni ya kimakosa kwa kadri ya sisi tulio nje lakini ndo hupelekea kuokoa goli.

Beki nzuri+kipa mzuri maisha mazuri, kimoja hakiko vizuri hapo tunajikongoja, kama vyote haviko vizuri tunaishia vilio na kusaga meno.
 
Yani ukiitazama Taifa Stars inavyocheza hapo ndipo unapoona sifa za kijinga tunazowapa wachezaji kwenye ligi yetu kuwa ni za uongo kabsa. Wacheza hawana Skills kabsa mpira kama ndondo,pasi hazina macho, butua butua nyingi iiiii!
Moira wa Tz ni Dino mno...
ni mara kumi uangalie mechi za watoto utapata fleva ya soka
 
Beki muda mwingine wanasababisha kipa atoke kuwahi mpira na pale asingetoka jamaa angeshoot toka mbali na kufunga.

Amejitahidi Sana Manula.
Ni kweli. Ile back four ya akina manyama na wenzake haikuunganika vizuri. Mbona ile mechi ya Tunisia hakuwa hivi?
 
Yaani ukiitazama Taifa Stars inavyocheza hapo ndipo unapoona sifa za kijinga tunazowapa wachezaji kwenye ligi yetu kuwa ni za uongo kabisa. Wachezaji hawana Skills kabsa mpira kama ndondo, pasi hazina macho, butua butua nyingi iiiii!
Hawana utulivu wala kujiamini...
Wageni ndio wanauwezo kwenye ligi yetu.
 
Kuelekea michuano mikubwa ya klabu bingwa barani Afrika timu Yangu ya Simba iliangalie Hili tatizo la Manula kutoka golini kuwahi Mpira bila hesabu za uhakika. Hili nimeliona sana Stars ilipocheza na Namibia. Kosa hili amefanya zaidi ya mara tatu ni vile tumecheza na timu dhaifu vinginevyo tungefungwa kupitia uzembe huo japo ameokoa michomo mingi ya hatari. Hili litazamwe vizuri.
Manula si kipa wa maana, anaicost sana Simba na Stars.....get rid of him asap!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom