Aishi Manula kwanini lakini?

Aishi Manula kwanini lakini?

Beki naxo zinazingua halafu mpira wa sasa beki ndio zinaanzisha mashambulizi lakini mwamnyeto na beki mwenzake protus wao wakipata mpira ni kubutua mbele utafikiri wanacheza mpira wa ndondo cup. Mbele nako wakipata mpira wanafikiria kufunga badala ya kuangalia wenzao wamekaaje sijui ndio wanavyofundishwa au wakiingia wanacheza wanavyojua
 
IMG_20210124_123926.jpg
So good so far
 
Nimegundua wabongo tunauelewa mdogo sana wa mpira, na zaidi tunaenda na chuki za Uyanga na usimba. Uwezi kua ndani ya uwanja ukawa perfect 100% kwenye kila action. Kazi aliyoifanya Airmanula Jana sikutegemea mtu kuja na lawama za namna hii. Usiangalie mpira kwa kuangalia Adui yako uwanjani kakosea nini, angalia na mazuri yake pia
 
Ni vyema watu kuelewa kuwa kipa mzuri pia ni muunganiko wa beki nzuri.
Wakati mwingine kipa hufanya makosa kulingana na kosa lililoanzia kwa beki.
Wakati mwingine kosa lawezakuwa ni la kipa binafsi.

Mpira ni mchezo wa kunufaika na makosa ya mwenzako, hivyo hakuna kipa ambaye hafanyi makosa na beki asiyefanya makosa. Ni kwa kiasi gani ndo shida yenyewe. Kuna maamuzi mengine ni ya kimakosa kwa kadri ya sisi tulio nje lakini ndo hupelekea kuokoa goli.

Beki nzuri+kipa mzuri maisha mazuri, kimoja hakiko vizuri hapo tunajikongoja, kama vyote haviko vizuri tunaishia vilio na kusaga meno.
....well said
 
Mpira, bongo umejaza cjui tuseme siasa ama nn
Screenshot_20210125_124025_com.instagram.android.jpg
 
nyie yanga hamnazo kabisa mlitaka manula afanyaje ili mlizike. anajitahidi kuziba mianya ya beki wenu famba yule hajui hata kuzuia mashambulizi. anatabia ya kurudisha mipira nyuma halafu inamshinda na manula ndo mwokozi wake then mnaleta maneno mengiii!!!
 
Kwani wewe Ni MKE wa manula?.
Mbona wivu hivi?
Unamchukia sana Manula. Alikukosea kitu gani ambacho huwezi msamehe? Ungekuwa mwanaume ngesema sisi wanaume huwa hatuwi na roho za hivi. Sema nyie wanawake....daah....mnaweka moyoni sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom