Aishi Manula kwanini lakini?

Aishi Manula kwanini lakini?

Jamani wakati mwingine tuwe wakweli Manula amefanya kazi kubwa sana hasa kwenye mechi ya Namibia. Ni kweli Manula ana madhaifu ya kutoka bila mpangilio na udhaifu wa kucheza krosi na kona. Lakini kwenye mechi dhidi ya Namibia alifanya hayo makosa mara moja au mbili tu. Na Manula ndiye aliyeinua morali ya timu nzima kwa kufanya "saves" za maana. Huu Usimba na Uyanga usitufanye tuwe vipofu hata kwenye mambo yaliyo wazi. Na hongera sana kwa benchi la ufundi kwa kuanza na Farid badala ya Mhilu hapo ndio chachu ya ushindi ilipoanzia.
 
Huko Nyoni tunaambiwa karudi nyumbani
 

Attachments

  • IMG-20210125-WA0051.jpg
    IMG-20210125-WA0051.jpg
    42.3 KB · Views: 9
nyie yanga hamnazo kabisa mlitaka manula afanyaje ili mlizike. anajitahidi kuziba mianya ya beki wenu famba yule hajui hata kuzuia mashambulizi. anatabia ya kurudisha mipira nyuma halafu inamshinda na manula ndo mwokozi wake then mnaleta maneno mmengi

Jamani wakati mwingine tuwe wakweli Manula amefanya kazi kubwa sana hasa kwenye mechi ya Namibia. Ni kweli Manula ana madhaifu ya kutoka bila mpangilio na udhaifu wa kucheza krosi na kona. Lakini kwenye mechi dhidi ya Namibia alifanya hayo makosa mara moja au mbili tu. Na Manula ndiye aliyeinua morali ya timu nzima kwa kufanya "saves" za maana. Huu Usimba na Uyanga usitufanye tuwe vipofu hata kwenye mambo yaliyo wazi. Na hongera sana kwa benchi la ufundi kwa kuanza na Farid badala ya Mhilu hapo ndio chachu ya ushindi ilipoanzia.
Umekili mwenyewe kuwa ni kweli Manula Ana madhaifu ya kutoka golini na kucheza krosi na Kona udhaifu huo ndio tunataka
Jamani wakati mwingine tuwe wakweli Manula amefanya kazi kubwa sana hasa kwenye mechi ya Namibia. Ni kweli Manula ana madhaifu ya kutoka bila mpangilio na udhaifu wa kucheza krosi na kona. Lakini kwenye mechi dhidi ya Namibia alifanya hayo makosa mara moja au mbili tu. Na Manula ndiye aliyeinua morali ya timu nzima kwa kufanya "saves" za maana. Huu Usimba na Uyanga usitufanye tuwe vipofu hata kwenye mambo yaliyo wazi. Na hongera sana kwa benchi la ufundi kwa kuanza na Farid badala ya Mhilu hapo ndio chachu ya ushindi ilipoanzia.
 
Japo jamaa anachomaga
Ila mngejua ndo kipa mwenye cleenshit nyingi huko CHAN ..
Anazo 8 mkiona hivyo mjue beki yetu ni mbovu mnooo
 
Kuelekea michuano mikubwa ya klabu bingwa barani Afrika timu Yangu ya Simba iliangalie Hili tatizo la Manula kutoka golini kuwahi Mpira bila hesabu za uhakika. Hili nimeliona sana Stars ilipocheza na Namibia.

Kosa hili amefanya zaidi ya mara tatu ni vile tumecheza na timu dhaifu vinginevyo tungefungwa kupitia uzembe huo japo ameokoa michomo mingi ya hatari. Hili litazamwe vizuri.
Naona unaongozwa na chuki au kutokujua.
Kuna faida kubwa sana kipa kutoka golini kuwahi mipira ambayo ingeleta hatari langoni na hiyo imekuwa ikimsaidia sana Manula kuiokoa Simba na Stars pia. Kwa taarifa yako mpaka sasa Manula ndiye kipa anayeongoza kwa uokoaji katika michuano ya CHAN, hiyo inathibitisha ubora wake na faida ya maamuzi hayo unayoyapigia kelele. Makocha wanaona kinachoendelea so kama kuna shida watamueleza na kumuelekeza lkn mpaka sasa bado Manula ni mlinda mlango bora Afrika.
 
Wote tunakubaliana Manula ni Tanzania one Hilo halina ubishi nilicho jaribu kukielezea ni mapungufu yake ili yafanyiwe kazi kabla hatujaanza michuano ya clabu bingwa
 
... Simba iliangalie Hili tatizo la Manula kutoka golini kuwahi Mpira bila hesabu za uhakika. Hili nimeliona sana Stars ilipocheza na Namibia.
Katika kikosi cha Tanzania, hadi sasa mchezaji mwenye rating kubwa huko CHAN ni Aishi Manula. Tafuteni hoja nyingine

1611611156364.png
 
Kwa hili kosa anahitajika afanyiwe programm maalum.
Nakumbuka Ivo mapunda alikuwa na kosa la kupunch mpira kuelekea kwa mshambuliaji, huu udhaifu uliigharimu timu yake mara kadhaa.
Nafikiri haya makosa yanaweza kurekebishika.
 
Kwa hili kosa anahitajika afanyiwe programm maalum.
Nakumbuka Ivo mapunda alikuwa na kosa la kupunch mpira kuelekea kwa mshambuliaji, huu udhaifu uliigharimu timu yake mara kadhaa.
Nafikiri haya makosa yanaweza kurekebishika.
Umefafanua vizuri sana na ndio lengo la huu uzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom