Kwanini yeye tu kila mara?Tulishaona picha zek za utupu huko siku za nyuma.Hizi za kwenye gazeti la udaku hazihitaji hata ubishi.Okay,watu wanaweza ku-photoshop sura,lakini vipi sura na sauti vifanane?By the way,tunaambiwa mkanda wa video unamwonyesha Aisha Madinda.Badala ya kumtetea ni vema "mnaompenda" mkampa somo la kuuheshimu mwili wake....na ikiwezekana aachwe kubwia unga.