Aiseeh! Usiku wakuamkia leo nimebugi sana

flulanga

JF-Expert Member
Jul 1, 2016
4,861
6,342
Usiku wakuamkia leo nimelala na shemeji/wifi yenu. Tumeanza vizuri sana show kifo cha mende, tumepiga weeee.

Tukabadilisha style yeye akaja juu mimi nikawa chini maana huwa mara nyingi anapenda kumalizia kwa style hiyo.

Sasa wakati tunaendelea na show yeye utamu ukamzidia na mimi pia utamu ukanizidia akajikuta kaniwekea ziwa lake mdomoni huku show inaendelea. Tukajikuta tumezama katika huba zito sana.

Huku ziwa lake likiwa mdomoni kwangu akawa kamaliza ila mimi bado ila midadi imenipanda kinomanoma chuchu likatoka mdomoni katika purukushani za hapa na pale maana yeye huwa akimaliza huwa anatumia nguvu nyingi kutoka katika himaya yangu ila mara nyingi huwa namdhibiti ili afurahie zaidi maana kinachomkimbizaga ni utamu unakuwa umemzidia mpaka anataka kuukimbia.

Sasa wakati chuchu imenichomoka mdomoni kwangu nikabaki nimeuma ziwa upande wajuu yaani sio kale kachuchu ila niile nyama ya juu au tuseme mgongo wa ziwa ndio uliobakia mdomoni kwangu huku sebene nikiliendeleza.

Pasipo kujitambua mimi wala yeye katika harakati za kupiga bao nikajikuta nimemuuma ila tulikuja kugundua baada ya mechi kuisha ndio kugundua kama nimemng'ata na alama nyeusi nimemuachia. Mtoto analalamika maumivu hiyo sehemu.

Ama hakika show ilikuwa nzuri ila nimeiharibu nilipomng'ata.

SWALI.: Je, manzi wangu hili tukio la kumng'ata atakuwa kalitafsiri vipi? Je ataniona dhaifu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom