Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 23,967
- 42,169
Picha ipo edited hiyo angalia mwanga.Mwambie a - download Google translate au hana smartphone wala pc
Dah kumbe upo jana nilikuwaza kimoyo nikajiuliza mayoo wane numbisa yuko wapi?
Hakuna ugonjwa mbaya kama stress jamanacha tu nifungue roho yangu ya furaha mungu pekee ndo anajua hatma yangu
huko jamuhuri ya watu wa FACEBOOK huyu jamaa juz alijiandikia rest in peace to me
na akaandika kama kuna mtu ananidai aje kesho asubuh mweeeee kajinyonga kweli
kamchoma mkewe visu vingi lakin hajafa ila yy ndo rest in peace yake imetimia jaman
haki vitu vinavyoandikwa mitandaon viwe vinafuatiliwa na watu wa karibu wa muhusika wakat mwingineView attachment 1363636View attachment 1363637



Left in peace



Kuna watu vichwa vimekaa tenge kabisa.