Aisee! Facebook kuna vituko

Aisee! Facebook kuna vituko

Hatari saana hii
IMG-20200118-WA0035.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna ugonjwa mbaya kama stress jaman😭😭acha tu nifungue roho yangu ya furaha mungu pekee ndo anajua hatma yangu🙏🙏huko jamuhuri ya watu wa FACEBOOK huyu jamaa juz alijiandikia rest in peace to me😢na akaandika kama kuna mtu ananidai aje kesho asubuh mweeeee kajinyonga kweli😪😪kamchoma mkewe visu vingi lakin hajafa ila yy ndo rest in peace yake imetimia jaman😢haki vitu vinavyoandikwa mitandaon viwe vinafuatiliwa na watu wa karibu wa muhusika wakat mwingine
IMG_20200220_092942.jpg
IMG_20200220_092933.jpg
 
Hakuna ugonjwa mbaya kama stress jaman[emoji24][emoji24]acha tu nifungue roho yangu ya furaha mungu pekee ndo anajua hatma yangu[emoji120][emoji120]huko jamuhuri ya watu wa FACEBOOK huyu jamaa juz alijiandikia rest in peace to me[emoji22]na akaandika kama kuna mtu ananidai aje kesho asubuh mweeeee kajinyonga kweli[emoji25][emoji25]kamchoma mkewe visu vingi lakin hajafa ila yy ndo rest in peace yake imetimia jaman[emoji22]haki vitu vinavyoandikwa mitandaon viwe vinafuatiliwa na watu wa karibu wa muhusika wakat mwingineView attachment 1363636View attachment 1363637

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom