Aisee! Facebook kuna vituko

Aisee! Facebook kuna vituko

Hatari saana hii
IMG-20200118-WA0035.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna ugonjwa mbaya kama stress jaman😭😭acha tu nifungue roho yangu ya furaha mungu pekee ndo anajua hatma yangu🙏🙏huko jamuhuri ya watu wa FACEBOOK huyu jamaa juz alijiandikia rest in peace to me😢na akaandika kama kuna mtu ananidai aje kesho asubuh mweeeee kajinyonga kweli😪😪kamchoma mkewe visu vingi lakin hajafa ila yy ndo rest in peace yake imetimia jaman😢haki vitu vinavyoandikwa mitandaon viwe vinafuatiliwa na watu wa karibu wa muhusika wakat mwingine
IMG_20200220_092942.jpg
IMG_20200220_092933.jpg
 
Hakuna ugonjwa mbaya kama stress jamanacha tu nifungue roho yangu ya furaha mungu pekee ndo anajua hatma yanguhuko jamuhuri ya watu wa FACEBOOK huyu jamaa juz alijiandikia rest in peace to mena akaandika kama kuna mtu ananidai aje kesho asubuh mweeeee kajinyonga kwelikamchoma mkewe visu vingi lakin hajafa ila yy ndo rest in peace yake imetimia jamanhaki vitu vinavyoandikwa mitandaon viwe vinafuatiliwa na watu wa karibu wa muhusika wakat mwingineView attachment 1363636View attachment 1363637

 
Back
Top Bottom