Aisee! Facebook kuna vituko

Hahahaa uwazi kwa umma wa kitanzania wapi na wapi si ataishia kuitwa malaya tu
madada wa Bongomovie, wanavo jitangaza na kuweka wazi na wanaume waliotembea nao, mbona hatuwaiti malaya? na bado soko lao linazidi ku paa tu.
 
Unaishi kijiji gani?mbona wameshashuka hadhi zamaani, soko lao linazidi kupaa kwenda wapi?
madada wa Bongomovie, wanavo jitangaza na kuweka wazi na wanaume waliotembea nao, mbona hatuwaiti malaya? na bado soko lao linazidi ku paa tu.
 
Hahahaa umeichunguza kweli picha
Huyo mtoto aloshika tama wakati hadija anakula ukodac ananipa mawazo mengi! Kuna kitu anaelewa kuhusu bibie au kuhusu Kadara.
 
Sikuizi kiki nikujitafutia mwenyewe...... Kiki za master bei ghali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…