Aise tembea uone maajabu ya Tanzania.

Aise tembea uone maajabu ya Tanzania.

Jaribu ufike igunga pale siku moja,,,Daah madem wa pale wako cheap mpaka huruma,kibaya zaidi wasikuone na gari
 
Hapo Nzega ni pazuri sana kwa mabaharia wenzangu.

Nilitoka Tbr nakuja kuonana na mrembo wangu aliyekuwa anatokea Mwnz kwenda Dar, tukaahidiana tukutane Nzega. Tukakaa siku 2 tu akawa amesepa.

Baada ya mrembo kwenda nikiwa nimebakia room tu. Heka heka zao asikwambie mtu. Yaliyoendelea ni taabu tu.
 
Kuhusu kasi ya maambukizo ya ukimwa huko mikoani panatisha...

Dar ukimwi siyo kivile...


Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom