Aise tembea uone maajabu ya Tanzania.

Gluk

JF-Expert Member
Mar 23, 2017
1,856
2,953
Habari wanaJf.
Binafsi naishi Dsm japo si mzaliwa wa Dsm ila ni katika utafutaji na muda mwingi nimekuwa Dsm ..
Ila kwa bahati mtandao wa Jf umenisaidia sana kupata maarifa mengi zaidi ya niliyokuwa nayo hapo nyuma.
Ila katika kuwaza na kuwazua japo kazi zangu nazifanyia DSM nikaoana si vibaya nitembelee mikoa tofauti ili kuona fursa zilizo katika mikoa mingine.
Nilianzia Dom, Singida,Tabora, kahama, shinyanga, mwanza nikaenda Arusha baada ya kutoka Arusha nikarudi tena Tabora ila kwa mara hii nikaenda sehemu moja wilaya ya Nzega..Sehemu hii ilinivutia sana kwa mambo mengi..kuanzia mzunguko wa biashara wa eneo hilo uwingi wa watu na pia niliona kuwa ni sehemu yenye fursa nyingi..

Ila muda wote ambazo nimekuwa Dsm nimekuwa nikiwaza hivi inakuweje mikoani paongoze kwa maambukizi ya HIV na kwanini isiwe dar hili swali lilikosa majibu na muda mwingine nikahisi kuwa TACAIDS takwimu zao haziko sawa..
Ila sasa nitakuwa na imani kwa niliyoshuhudia sehemu hizi tatu.
Kahama,Shinyanga na Nzega aise hizi sehemu watu wanapenda chini sijawahi ona.
Mabinti wa maeneo hayo ni warahisi mno

Na habari za UKIMWI hawazitambui kabsa. Serikali ina wajibu wa kupeleka elimu juu ya janga hili mikoani ili kunusuru vijana..

Mwisho wa utafiti wangu wa kilichonipeleka katika mikoa hiyo nimegundua kuwa fursa nyingi sana ziko mikoani kuliko dar na sababu kubwa niliyoiona ni vijana wengi kuwa dar na kuacha fursa zilizopo katika maeneo yao yanayowazunguka..

NB: JIFUNZE KUTATUA CHANGAMOTO ZINAZOIKABILI JAMII INAYOKUZUNGUKA KWANZA.
 
Sasa umeanza kuzitumia fursa zingine au bado umeng'ang'ania fursa za chini?
 
Hiyo Miji uliyoitaja yote ni Transit. Na destination ni Mwanza. Tabia za kimalaya ni kawaida tuu.

Ni Sawa na morogoro, Mafinga na Makambako. Hali ni hiyohiyo kama unaelekea Nyanda za jui kusini
 
Habari wanaJf.
Binafsi naishi Dsm japo si mzaliwa wa Dsm ila ni katika utafutaji na muda mwingi nimekuwa Dsm ..
Ila kwa bahati mtandao wa Jf umenisaidia sana kupata maarifa mengi zaidi ya niliyokuwa nayo hapo nyuma.
Ila katika kuwaza na kuwazua japo kazi zangu nazifanyia DSM nikaoana si vibaya nitembelee mikoa tofauti ili kuona fursa zilizo katika mikoa mingine.
Nilianzia Dom, Singida,Tabora, kahama, shinyanga, mwanza nikaenda Arusha baada ya kutoka Arusha nikarudi tena Tabora ila kwa mara hii nikaenda sehemu moja wilaya ya Nzega..Sehemu hii ilinivutia sana kwa mambo mengi..kuanzia mzunguko wa biashara wa eneo hilo uwingi wa watu na pia niliona kuwa ni sehemu yenye fursa nyingi..

Ila muda wote ambazo nimekuwa Dsm nimekuwa nikiwaza hivi inakuweje mikoani paongoze kwa maambukizi ya HIV na kwanini isiwe dar hili swali lilikosa majibu na muda mwingine nikahisi kuwa TACAIDS takwimu zao haziko sawa..
Ila sasa nitakuwa na imani kwa niliyoshuhudia sehemu hizi tatu.
Kahama,Shinyanga na Nzega aise hizi sehemu watu wanapenda chini sijawahi ona.
Mabinti wa maeneo hayo ni warahisi mno

Na habari za UKIMWI hawazitambui kabsa. Serikali ina wajibu wa kupeleka elimu juu ya janga hili mikoani ili kunusuru vijana..

Mwisho wa utafiti wangu wa kilichonipeleka katika mikoa hiyo nimegundua kuwa fursa nyingi sana ziko mikoani kuliko dar na sababu kubwa niliyoiona ni vijana wengi kuwa dar na kuacha fursa zilizopo katika maeneo yao yanayowazunguka..

NB: JIFUNZE KUTATUA CHANGAMOTO ZINAZOIKABILI JAMII INAYOKUZUNGUKA KWANZA.
Us AIDS
 
Aah morogoro itoe hapo ndugu. .. haiingii kabisa kwenye list za mikoa yenye makonki wa umalaya. .. Zero IQ hebu msikie huyu kijana wetu leo amekengeuka
Hiyo Miji uliyoitaja yote ni Transit. Na destination ni Mwanza. Tabia za kimalaya ni kawaida tuu.

Ni Sawa na morogoro, Mafinga na Makambako. Hali ni hiyohiyo kama unaelekea Nyanda za jui kusini
 
Habari wanaJf.
Binafsi naishi Dsm japo si mzaliwa wa Dsm ila ni katika utafutaji na muda mwingi nimekuwa Dsm ..
Ila kwa bahati mtandao wa Jf umenisaidia sana kupata maarifa mengi zaidi ya niliyokuwa nayo hapo nyuma.
Ila katika kuwaza na kuwazua japo kazi zangu nazifanyia DSM nikaoana si vibaya nitembelee mikoa tofauti ili kuona fursa zilizo katika mikoa mingine.
Nilianzia Dom, Singida,Tabora, kahama, shinyanga, mwanza nikaenda Arusha baada ya kutoka Arusha nikarudi tena Tabora ila kwa mara hii nikaenda sehemu moja wilaya ya Nzega..Sehemu hii ilinivutia sana kwa mambo mengi..kuanzia mzunguko wa biashara wa eneo hilo uwingi wa watu na pia niliona kuwa ni sehemu yenye fursa nyingi..

Ila muda wote ambazo nimekuwa Dsm nimekuwa nikiwaza hivi inakuweje mikoani paongoze kwa maambukizi ya HIV na kwanini isiwe dar hili swali lilikosa majibu na muda mwingine nikahisi kuwa TACAIDS takwimu zao haziko sawa..
Ila sasa nitakuwa na imani kwa niliyoshuhudia sehemu hizi tatu.
Kahama,Shinyanga na Nzega aise hizi sehemu watu wanapenda chini sijawahi ona.
Mabinti wa maeneo hayo ni warahisi mno

Na habari za UKIMWI hawazitambui kabsa. Serikali ina wajibu wa kupeleka elimu juu ya janga hili mikoani ili kunusuru vijana..

Mwisho wa utafiti wangu wa kilichonipeleka katika mikoa hiyo nimegundua kuwa fursa nyingi sana ziko mikoani kuliko dar na sababu kubwa niliyoiona ni vijana wengi kuwa dar na kuacha fursa zilizopo katika maeneo yao yanayowazunguka..

NB: JIFUNZE KUTATUA CHANGAMOTO ZINAZOIKABILI JAMII INAYOKUZUNGUKA KWANZA.
Tuambie hizo fursa mkuu.(ila sio za chini)
 
Dar ni ya tatu kitaifa kwa Ukimwi kwakuwa wana gawa kwa idadi ya watu ndio wanapata takwimu ila wenye ngoma wapo wengi dar kwa si tunao ishi uswazi tunaona watu wana piga kavu bora malaya bila kondom ana weza kukataa..Mikoani pesa hapo Nzega mji umechangamka nilibahatika kulala hapo stand mpya
 
Usihukumu usije ukahukumiwa usimnyoshe mwenzako kidole na wakati vitatu vinakuangalia KUJIONA KUJISHAUA NA TENA WEWE NI ME UWII HII INAKATISHA TAMAA HASWA WALIOKULEA DEMU WAKO ANAHASARA
 
Back
Top Bottom