amkawewe
JF-Expert Member
- Dec 9, 2011
- 2,021
- 527
Kwa kweli mtandao wa internet kwa bundle yoyote utakayochagua ni wizi mtupu:
Weka hata Tsh 15,000/- ndani ya saa 1 imeisha - download kidogo - only browsing.
weka 400MB kwa tsh 2,500 bado mbaya.
Kweli hawa jamaa wameamua kutuibia. Bora sasatel kwa DSM ile ukienda mkoani lazima Airtel et al wakubane tu.
TCRA mnaregulate nini?
Weka hata Tsh 15,000/- ndani ya saa 1 imeisha - download kidogo - only browsing.
weka 400MB kwa tsh 2,500 bado mbaya.
Kweli hawa jamaa wameamua kutuibia. Bora sasatel kwa DSM ile ukienda mkoani lazima Airtel et al wakubane tu.
TCRA mnaregulate nini?