Wakuu kama ilivyo kuwa mtandao ambao ulikuwa na gharama nafuu za vifurushi vya mitandao ni Airtel pekee na kwa sababu hiyo walipata wateja wengi sana hadi hivi karibuni kasi yao ya internet kuwa na speed ndogo.
Sasa leo naona wamepandisha vifurushi vyao kwa takribani 30% na 50% kulingana na kifurushi usika. Mfano kile cha huku mfano kile cha wiki kwa tsh 1000 ni sh 2000 na wakiongeza hapo MB 224 tu na kuwa 1gb toka 800Mb
Sasa leo naona wamepandisha vifurushi vyao kwa takribani 30% na 50% kulingana na kifurushi usika. Mfano kile cha huku mfano kile cha wiki kwa tsh 1000 ni sh 2000 na wakiongeza hapo MB 224 tu na kuwa 1gb toka 800Mb