Mtandao wa simu wa Airtel toka jana jioni network hamna hapa wilaya ya Maswa,tatizo nini jamani au mmeisha bweteka kwa kuwa mna wateja wengi?Tunaomba mafundi walitafutie ufumbuzi hili tatizo.
Mtandao wa simu wa Airtel toka jana jioni network hamna hapa wilaya ya Maswa,tatizo nini jamani au mmeisha bweteka kwa kuwa mna wateja wengi?Tunaomba mafundi walitafutie ufumbuzi hili tatizo.