Airtel Switch ON

mojoki haueleweki,unasema all device wakat huo unamshauri mtu aweke lain yake kwenye simu nyingne ndo ajiunge.!

Acha ubabaishaji,sema device ambazo hazipo supported na hzo offers

-All smart phones
-Featured phones and
-Tablet

Ila yeye kashakwambia ana smartphone na inagoma, wewe ungemshauri nini labda...


In this world nothing is certain than Tax and Death.
 
Last edited by a moderator:
All devices mkuu


In this world nothing is certain than Tax and Death.

We nawe umekuja kutupotosha tu hapa, we unasema all devices wakati inasupport baadhi ya smartphone tu, nasema ni baadhi ya smartphone tu kwa sababu si kila smartphone inakubali
 
Hizi offer nyingine ngoja kwanza tuwe tunasikilizia feedback kutoka kwa watu wengine
 
Inawezekana kujiunga halafu nkatoa simcard na kuieka kwenye modem?je inapiga kazi?
 
Spidi hakuna kabisa!!!!! Niko moshi mjini hapa!!!! hata download ya picha tu issue....... Download speed 3MB/s
 
Spidi hakuna kabisa!!!!! Niko moshi mjini hapa!!!! hata download ya picha tu issue....... Download speed 3MB/s
  • Rekebisha hapo kwenye red
  • Kwa speed hiyo [kubwa sana] waweza download movies ya 700MB kwa dk35 tu
 
Inawezekana kujiunga halafu nkatoa simcard na kuieka kwenye modem?je inapiga kazi?
  • Yap inapiga kazi vyema
  • Na ukitumia PD Proxy | TunnelGuru unapata speed isiyo na kikomo
  • KARIBU
 
Hizi offer nyingine ngoja kwanza tuwe tunasikilizia feedback kutoka kwa watu wengine

Haya we endelea kusubiri feedback


In this world nothing is certain than Tax and Death.
 




·Switch ON is a device based Internet/Data bundle

Hebu fafanua hiyo sentesi hapo, kama english inasumbua tumia kiswahili tu
 
MSAADA.... Nimenunua kifurushi cha mwezi (*148*22# - Featured phone) lakini internet imegoma ku-connect kabisa. Nimeongea na customer care wakasema nizime na kuwasha na kujaribu simu nyingine (featured) bila mafanikio. Nimechoka kabisa yaani 7,000 ipotee bure! NAOMBA MSAADA WENU.
 

Unatumia simu gan mkuu, have you tried manual config.?


In this world nothing is certain than Tax and Death.
 

Kwa uelewa wangu "Featured Phone" hazisapoti "Internet" yani mfano simu kama...
#1 Siemens mayai (c52)
#2 Nokia 1100 na wenzake wa miaka hiyo
#3 Motorola za enzi zile kama T190...
#etc


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ahsante wakuu. Nimeiweka ktk Nokia Asha 200 lakini lengo langu ni kuiweka ktk modem. Nitachomeka modem ktk PC na ku-connect.
 
Kwa uelewa wangu "Featured Phone" hazisapoti "Internet" yani mfano simu kama...
#1 Siemens mayai (c52)
#2 Nokia 1100 na wenzake wa miaka hiyo
#3 Motorola za enzi zile kama T190...
#etc


Sent from my iPhone using JamiiForums

umetumia neno zuri sana ambalo ni KWA UWELEWA WAKO TU.... LAKINI SIO UHALISIA
 
umetumia neno zuri sana ambalo ni KWA UWELEWA WAKO TU.... LAKINI SIO UHALISIA

Lakini Hiyo "Tu..." Umeiongeza wewe


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Lakini Hiyo "Tu..." Umeiongeza wewe


Sent from my iPhone using JamiiForums

Kwani ulikua unamaanisha ni kwa uelewa wako wewe na nani


In this world nothing is certain than Tax and Death.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…