Unajua dudus,,kuna changamoto moja bado ina nipa maswali sana kichwani juu ya kurudisha muamala na kuwa na access ya kuitumia tena mda huo huo...hii sehem inabdi waizingatie sana,mfano mimi nakuja kwenye duka lako kununua bidhaa,,nikasema sina cash naweza kukurushia kwenye simu yako ya kawaida let's say ni mpesa au tigopesa au airtelmoney...mi ikarusha muamala na ukanikabidhi bidhaa nikaingia chocho la pili nikarudisha muamala fasta nikatoa pesa kwa wakal nikatupa pain...hili jambo hawajakaa kujiuliza mianya hii ya kitapeli kwamba inaweza kufanyika..yani bado nadhani,waweze kuishikilia hela mpk kuwe na uthibitisho wa kweli kwa aliyepokea...kusiwe rahisi rahisi tu mtu anarudisha muamala...upumbavu huu naukataa kabisa...wakae chini warekebishe hilo...
Ova