Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,749
- 91,827
Hii Huduma ya Wateja kurudusha Muamala , Inaniumiza sana Kama WAKALA .
MTEJA anakuja ,anatoa kiasi fulani cha Pesa, Unasoma meseji vzuri, unaangalia Salio lako limeongezeka vizuri tu.
Unaamua kumpa PESA ( Cash) .
Unaendelea na majukumu mengine .
Baada ya Muda, Unakuja kuangalia , Salio limepungua kiasi kile kile ulichokituma kwa Mteja yule.
MTEJA BAADA YA MUDA, ALIWAPIGIA SIMU KUA KAKOSEA KUTOA HELA, KATOA HELA KIMAKOSA KWAMBA KAINGIZA CODE ALIZOKOSEA.
NANYIE MLIVYO WAPUMBAVU, MNASHINDWA KUWASILIANA NA WAKALA KWANZA, MNAAMUA KUCHOTA KIASI CHA PESA KWA WAKAL, KUMRUDISHIA MTEJA AMBAYE TAYARI KESHAONDOKA NA PESA .
Huu upuuzi weni, wajinga nyinyi ukome mara moja , shenzi kabisa , mnadhani Pesa inaokotwa ???
Manyoko zenu ,pumbavu kabisa... alafu mnatafutwa ,mnaanza habari za ngoja nitaisitisha , ILI HALI MTEJA MWIZI KESHAIHAMISHIA LAINI NYINGINE NA HAPATIKANI TENA??
SASA BASI...
Muache Upumbavu , Miamala ya wateja kutoka au kwenda kwa wakala inayorudishwa kama imekosewa, MUITHIBITISHE KWANZA KUTOKA KWA WAKALA ,KWA SIMU YA MOJA KWA MOJA.
MTEJA anakuja ,anatoa kiasi fulani cha Pesa, Unasoma meseji vzuri, unaangalia Salio lako limeongezeka vizuri tu.
Unaamua kumpa PESA ( Cash) .
Unaendelea na majukumu mengine .
Baada ya Muda, Unakuja kuangalia , Salio limepungua kiasi kile kile ulichokituma kwa Mteja yule.
MTEJA BAADA YA MUDA, ALIWAPIGIA SIMU KUA KAKOSEA KUTOA HELA, KATOA HELA KIMAKOSA KWAMBA KAINGIZA CODE ALIZOKOSEA.
NANYIE MLIVYO WAPUMBAVU, MNASHINDWA KUWASILIANA NA WAKALA KWANZA, MNAAMUA KUCHOTA KIASI CHA PESA KWA WAKAL, KUMRUDISHIA MTEJA AMBAYE TAYARI KESHAONDOKA NA PESA .
Huu upuuzi weni, wajinga nyinyi ukome mara moja , shenzi kabisa , mnadhani Pesa inaokotwa ???
Manyoko zenu ,pumbavu kabisa... alafu mnatafutwa ,mnaanza habari za ngoja nitaisitisha , ILI HALI MTEJA MWIZI KESHAIHAMISHIA LAINI NYINGINE NA HAPATIKANI TENA??
SASA BASI...
Muache Upumbavu , Miamala ya wateja kutoka au kwenda kwa wakala inayorudishwa kama imekosewa, MUITHIBITISHE KWANZA KUTOKA KWA WAKALA ,KWA SIMU YA MOJA KWA MOJA.