si afadhali hata wewe ilikuwa mchana, mi kuna kipindi walifululiza kunipigia usiku tena muda uleule, halafu mtu umelala na ubavu wako, mwisho wake inakuwa kuanzisha ugomvi usio wa lazima maana mi nilikuwa napokea nikisikia ni wao nakata bila kuongea chochote, sasa mtu anaweza kudhani hutaki kuongea kwa sabubu nyingine kumbe ni ujinga fulani wa makampuni ya simu
Na voda nao wahuni leo nimempigia rafik yangu ambaye ni mkiristo hasa nasikia mawaidha ya kiislam alivyopokea ikabid nimuulize anashangaa ajaweka mlio wowote .wahuni kweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.