ulikumbwa na dhahama au ni maneno ya watu maana watz weng tnaish kwa hisia na labda labda labda
habar wana jamvi!natoa malalamiko kama mteja wa airtel pesa,kwamba hi huduma ni pasua kichwa,mara mtandao haupatikan ukikosea kutuma pesa yako hairudishwi ,wanakwsmbia itarudi lakin wapi!usumbufu mtupu!
wahusika ujumbe mmeupata!tunawahama
acha fitina! na kwanini usiwe makini na jina linaonekana la unayemtumia? airtel imetusaidia wanyonge
wewe utaona kama fitina kwa sababu hayajakupata lakini watu wengi wameumia na jina unalolitaja halionekani kama mitandao mingine mpaka zikishaenda ndio unaona, ukiwambia nimekosea watajitahidi kuzizuia lakini hawarudishi.acha fitina! na kwanini usiwe makini na jina linaonekana la unayemtumia? airtel imetusaidia wanyonge
Co ndio inayolalamikiwa kwa huduma mbaya na yenyewe inafahamu, unataka kutuambia kila mtu akikosea akuPM wewe uwatafute unaowafahamu ili wasaidie, wasiokujua wewe watasaidiwa na nani!!!!!!!!. hatuna nia ya kuchukia Co. ila iboreshe huduma.ni PM details za hiyo Transactions.Kuna watu tukiwatumia watakusadia.Unajua wakati mwigine watu hawafanyi kazi zao,then unaichukia kampuni bure.
Co ndio inayolalamikiwa kwa huduma mbaya na yenyewe inafahamu, unataka kutuambia kila mtu akikosea akuPM wewe uwatafute unaowafahamu ili wasaidie, wasiokujua wewe watasaidiwa na nani!!!!!!!!. hatuna nia ya kuchukia Co. ila iboreshe huduma.
mimi mpaka nimekata tama niliambiwa zimezuiliwa nilipokosea na kufuatilia lakini hadi leo sijazipata pengine wanajilipa kwa huduma yao ya kutuma hela bure. lakini mimi pamoja na kutuma bure sitaki kusikia. Posta siku hizi wanajitahidi sana na ni kwa haraka sana ni ile huduma yao ya Posta cash
wewe utaona kama fitina kwa sababu hayajakupata lakini watu wengi wameumia na jina unalolitaja halionekani kama mitandao mingine mpaka zikishaenda ndio unaona, ukiwambia nimekosea watajitahidi kuzizuia lakini hawarudishi.
Co ndio inayolalamikiwa kwa huduma mbaya na yenyewe inafahamu, unataka kutuambia kila mtu akikosea akuPM wewe uwatafute unaowafahamu ili wasaidie, wasiokujua wewe watasaidiwa na nani!!!!!!!!. hatuna nia ya kuchukia Co. ila iboreshe huduma.