Mkuu kama ulikuwepo!
Jioni hii nimeunga furushi la gb1, ile kuanza kulitumua tu, naletewa notification kuwa nimetumia 75% ya bando, nikadhani utani.
Muda kidogo ikaingia ya kunieleza nimemaliza bando!
Nimeachwa kinywa wazi nisijue pa kuanzia!
Nadhani njia sahihi ni kuwahama tu maana hakuna namna.