Airtel mna matatizo gani?

simbamzeewamwakidila

JF-Expert Member
May 4, 2013
1,447
378
Airtel mnakera

Huwa najiuliza ina maana hampati malalamiko ya wateja?
Huduma zenu ni mbovu kupindukia iwe ni usikivu au internet kote ni matatizo
 
Airtel mnakera

Huwa najiuliza ina maana hampati malalamiko ya wateja?
Huduma zenu ni mbovu kupindukia iwe ni usikivu au internet kote ni matatizo
Mkuu kama ulikuwepo!

Jioni hii nimeunga furushi la gb1, ile kuanza kulitumua tu, naletewa notification kuwa nimetumia 75% ya bando, nikadhani utani.
Muda kidogo ikaingia ya kunieleza nimemaliza bando!

Nimeachwa kinywa wazi nisijue pa kuanzia!
Nadhani njia sahihi ni kuwahama tu maana hakuna namna.
 
Mkuu kama ulikuwepo!

Jioni hii nimeunga furushi la gb1, ile kuanza kulitumua tu, naletewa notification kuwa nimetumia 75% ya bando, nikadhani utani.
Muda kidogo ikaingia ya kunieleza nimemaliza bando!

Nimeachwa kinywa wazi nisijue pa kuanzia!
Nadhani njia sahihi ni kuwahama tu maana hakuna namna.

Tudai katiba mpya
 
Mkuu kama ulikuwepo!

Jioni hii nimeunga furushi la gb1, ile kuanza kulitumua tu, naletewa notification kuwa nimetumia 75% ya bando, nikadhani utani.
Muda kidogo ikaingia ya kunieleza nimemaliza bando!

Nimeachwa kinywa wazi nisijue pa kuanzia!
Nadhani njia sahihi ni kuwahama tu maana hakuna namna.
Uliwasha hotspots ukaconnect na pc?
 
Mkuu kama ulikuwepo!

Jioni hii nimeunga furushi la gb1, ile kuanza kulitumua tu, naletewa notification kuwa nimetumia 75% ya bando, nikadhani utani.
Muda kidogo ikaingia ya kunieleza nimemaliza bando!

Nimeachwa kinywa wazi nisijue pa kuanzia!
Nadhani njia sahihi ni kuwahama tu maana hakuna namna.
Chukua TTCl
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom