B Bulah JF-Expert Member Aug 19, 2011 247 56 Sep 16, 2012 #1 nikijiunga internet kwa kutumia mordem ya Airtel..... inakubali dk kama tano afu inakata.... tatizo nini????
nikijiunga internet kwa kutumia mordem ya Airtel..... inakubali dk kama tano afu inakata.... tatizo nini????
ARV JF-Expert Member Sep 6, 2011 4,972 6,968 Sep 16, 2012 #2 Hamia voda, achana na shida hizo nadhani lile basi lao limeshachakaa.
jogi JF-Expert Member Sep 25, 2010 25,558 25,323 Sep 16, 2012 #3 ARV said: Hamia voda, achana na shida hizo nadhani lile basi lao limeshachakaa. Click to expand... kwani rostam ameondoka kwenye bodi ya wanahisa!!!! Mimi sipeleki sehemu ya umasikini kwa tajiri fisadi! Nilishajiondoa huko vyoda ya mashivyakom yao kitaaaaaambo.
ARV said: Hamia voda, achana na shida hizo nadhani lile basi lao limeshachakaa. Click to expand... kwani rostam ameondoka kwenye bodi ya wanahisa!!!! Mimi sipeleki sehemu ya umasikini kwa tajiri fisadi! Nilishajiondoa huko vyoda ya mashivyakom yao kitaaaaaambo.
georgeallen JF-Expert Member Jun 3, 2011 4,118 1,868 Sep 16, 2012 #4 ARV said: Hamia voda, achana na shida hizo nadhani lile basi lao limeshachakaa. Click to expand... Mabasi ya kihindi haya TATA yanakawia kuharibika basi. Hama .njoo huku kwetu
ARV said: Hamia voda, achana na shida hizo nadhani lile basi lao limeshachakaa. Click to expand... Mabasi ya kihindi haya TATA yanakawia kuharibika basi. Hama .njoo huku kwetu