Aisee hii ni nini kweliNilidhani ni huku Dodoma tuu!Mawasiliano kwa mtandao wa Airtel yamekuwa na kero kubwa,kuna nini?
hawa jamaa ni shida huku znz ndo kabisa, simu hazitoki ikitoka ni baada ya kuwa imsearch kwa dk kadhaa na akipokea uliyemtumia unasikia simu inasonya tu, mesji lazima urudia kama mara tano hivi na kuendelea. Nawapigia huduma kwa wateja mjinga mmoja ananiuliza unatumia simu ya aina gani? upuuzi mtupuMawasiliano kwa mtandao wa Airtel yamekuwa na kero kubwa,kuna nini?
Pole sana,kama unamgonjwa ni shida !maana utampata dr au wa usafiri saa ngapi!?hawa jamaa ni shida huku znz ndo kabisa, simu hazitoki ikitoka ni baada ya kuwa imsearch kwa dk kadhaa na akipokea uliyemtumia unasikia simu inasonya tu, mesji lazima urudia kama mara tano hivi na kuendelea. Nawapigia huduma kwa wateja mjinga mmoja ananiuliza unatumia simu ya aina gani? upuuzi mtupu
Hapana sio yote!Mkuu ni mitandao yote ina shida
Juzi nilipata changamoto mtandao wa tigo unaandika emergency pia data ukifungua mara inakataa yenyeweHapana sio yote!